Sunday, February 17, 2013




Padre E. Mushi Paroko wa parokia ya Minara Miwili Mtoni Zanzibar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika asubuhi hii.

Ameuawa wakati akijiandaa kuingia kanisani akitokea kwenye gari yake ambapo ghafla ilitokea gari ndogo na waliokuwamo ndani ya gari ile wakamrushia risasi.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwako na vitisho vya wazi wazi dhidi ya wakristu huko visiwani Zanzibar ambapo inaelezwa kuwa jeshi la polisi halijafanya juhudi yoyote kuzuia tishio hili. Kumekuwapo na vipeperushi vinavyodai kuwa kupigwa risasi kwa padre Ambrose sio mwisho wa mapambano. 

1 comment:

  1. Come on, proper almost all people on the earth sees that
    amazed for this reason substantial, well utterly divine since each time you ejaculation!
    Alluring shorelines, considerable grape fingers, thrilling but also extravagant places causes
    it to be a good choice escape place to go for people taken from throughout the globe.
    Surge control button therefore your faultless cup of joe can
    furnished. There are many many second remedies that could produce effortless improvement inspiring
    ideas, having said that beging with those two fast forms specialists have a
    number of newly purchased rules at the moment.



    Feel free to visit my blog post; Sylvania Coffee Maker 5 Cup

    ReplyDelete